Watu wasiopungua saba wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa kwenye mlipuko uliotokea jana Jumapili katika kiwanda cha kutengeneza fataki na fashifashi jimboni Uttar Pradesh, kaskazini mwa India.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |