Roketi ya uchukuzi ya China ya Kuaizhou-11 imeshindwa katika mara yake ya kwanza ya majaribio ya kuirushwa.
Roketi hiyo ilirushwa saa 6 na dakika 17 mchana ya leo katika kituo cha kurushia saitilaiti cha Jiuquan, China, lakini ilikumbwa na matatizo ya kiufundi. Sababu halisi ya kushindwa kuruka inachunguzwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |