Afisa wa India amesema idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kunywa pombe bandia huko Punjab imeongezeka na kufikia 111.
Habari zinasema polisi wa India wamemkamata mtuhumiwa mmoja anayejulikana kwa jina la Rajeev Joshi, ambaye alikiri kuwa aliuza mapipa matatu ya methanol kwa watu waliotengeneza pombe bandia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |