Awali mashirika ya ndege ya kimataifa na yasiyo ya kimataifa yalisitisha safari zake kwenye nchi mbalimbali duniani kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.
Mashirika ya ndege ambayo hadi sasa yamesharudisha safari zake nchini Tanzania, ni pamoja na shirika la ndege la Rwanda Air,Ethiopia, Qatar, Emirates na shirika la ndege la nchini Uholazi la KLM.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |