Mwezi Julai, watu wasiojulikana waliwaua raia 13 na kuwajeruhi wengine kadhaa katika mkoa huo. Awali, maofisa nchini Ethiopia walisema shambulizi hilo lilikuwa na lengo la kikabila kwa kuwa watu waliouawa walitokea kabila la Amhara, ambao wamekaa kwenye eneo hilo kwa miongo kadhaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |