• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Zaidi ya asilimia 80 ya wafanyibishara katika makazi duni ya Nairobi wameripoti  mahitaji na usambazaji wa chini

    (GMT+08:00) 2020-08-25 20:16:02
    Zaidi ya asilimia 80 ya wafanyibishara katika makazi duni ya Nairobi wameripoti mahitaji na usambazaji kuwa changamoto mwezi uliopita licha ya usumbufu wa usambazaji wa umeme uliosababishwa na corona, utafiti unaonyesha.

    Hatua za hivi karibuni za athari, zinaonyesha wauzaji wengi wanasisitiza kumekuwa na ongezeko la bei ya bidhaa na (asilimia 53) na kupungua kwa mahitaji ya bidhaa na (asilimia 46).

    Utafiti ulifanywa kati ya Julai 21 na 23 katika maeneo Gatina, Gitare-Marigo, Kibera, Korogocho, Kayole, Lunga Lunga, Majengo, Mathare, Mukuru na Soweto.

    Utafiti pia unaonyesha kuwa jamii za ndani zinakabiliwa na changamoto katika upatikanaji wa masoko ya ndani kwa sababu ya ununuzi mdogo (asilimia 94), na gharama ya bidhaa ni kubwa (asilimia 41), ukosefu wa bidhaa (asilimia 18) na hofu ya kuambukizwa Covid-19 (asilimia saba).

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako