Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Zachy Mbenna, alisema taasisi hiyo ni chombo cha kupazia sauti na kuweka mikakati ya ustawi wa taasisi binafsi ili iweze kufikia malengo ya kuwaunganisha Watanzania na fursa za ndani na nje ya nchi.
Alisema TPSF imeguswa na kikundi hicho cha wanawake wajasiriamali walemavu ambao shughuli zao ni kushona nguo za vitenge, barakoa mashuka pamoja na vitamba
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |