Hayo yameelezwa na mkuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango, Benny Mwaipaja.
Mwaipaja amesema mkataba huo umesainiwa nchini Kuwait kati ya balozi wa Tanzania nchini humo, Aisha Amuor, kwa niaba ya serikali ya Tanzania na Mkurugenzi mkuu wa KFED Abduluwahad Ahmed Al-Bader, kwa niaba ya serikali ya Kuwait.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |