• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kiwango cha mfumuko wa bei kwa mwezi Agosti nchini China chashuka kuliko Julai

    (GMT+08:00) 2020-09-09 19:50:14

    Takwimu zilizotolewa leo na Idara Kuu ya Takwimu ya China zinaonesha kuwa, mwezi Agosti, kiwango cha bei za bidhaa zinazotumiwa maishani (CPI) nchini China kiliongezeka kwa asilimia 2.4 ikilinganishwa na mwaka jana kipindi kama hiki, na kushuka kwa asilimia 0.3 ikilinganishwa na mwezi Julai.

    Takwimu hizo zinaonesha kuwa mwezi Agosti, kati ya aina nane kuu za bidhaa na huduma, bei za aina tatu ziliongezeka, moja ilikuwa sawa, na nyingine nne zilishuka ikilinganishwa na mwaka jana kipindi kama hiki.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako