• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Magufuli, Museveni wa saini mkataba wa $ 3.5bn

    (GMT+08:00) 2020-09-15 19:20:28

    Tanzania na Uganda zilitia saini makubaliano ili kuanza ujenzi wa bomba la mafuta lenye urefu wa kilomita 1,445 kupitia Afrika Mashariki.

    Mradi huo unazingatia uwanja wa mafuta Uganda ambao ulijulikana na mnamo mwaka wa 2006 na inapendekeza kupampu mafuta yasiosafishwa pwani kupitia bomba Tanzania gharama inayokadiriwa ni $ 3.5 bilioni.

    Mpango huu wa kitaifa unaongozwa na kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa Total kwa kushirikiana na CNOOC ya China na Tullow Oil ya Uingereza, ambayo inataka kumaliza kuuza hisa zake katika mradi huo.

    Bomba kubwa litapitia kusini mwa Ziwa Victoria hadi bandari ya Tanga karibu na mpaka wa Kenya.

    Tanzania imesema mradi huo utatengeneza ajira 10,000 na kwamba zaidi ya watu 90,000 watalipwa fidia ili kufungua njia ya bomba hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako