• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: Viwango vya ubora kwa madini vyatolewa

    (GMT+08:00) 2020-09-23 18:56:59

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetengeneza zaidi ya viwango 100 ambavyo vitatumika kudhibiti ubora katika sekta ya madini kwenye masuala ya utafiti, uchimbaji na uchenjuaji.

    Akizungumza katika maonyesho ya tatu ya madini na teknolojia yanayoendelea katika viwanja vya Magogo mkoani Geita, msemaji wa TBS, Roida Andusamile alisema kuwa viwango hivyo vimeandaliwa kudhibiti viwango kwa wachimbaji wakubwa na wadogo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako