• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Alvaro Morata ajiunga na klabu ya Juventus

    (GMT+08:00) 2020-09-23 19:04:16

    Mshambuliaji wa Atletico Madrid ya Hispania Alvaro Morata, 27, amejiunga na klabu ya Juventus ya Italia kwa mkopo wa muda mrefu. Morata aliwahi kucheza Juventus (2014-2016) na baadaye kujiunga na Real Madrid ya kwao Hispania, kisha 2017 kujiunga na Chelsea alikodumu kwa miaka mitatu tu kisha kurejea Atletico.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako