• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • UGANDA: FAO YAONYA UWEZEKANO WA BAA LA NJAA NCHINI UGANDA.

    (GMT+08:00) 2020-09-25 16:16:44

    Wakati mafuriko yakiendelea kuathiri taifa la Uganda, Shirika la Chakula na Kilimo (FAO),limeonya kuhusu uwezekano wa ukame mkali kati ya Novemba hadi Februari 2021 ambao utasababisha uhaba wa chakula nchini.

    Onyo hili lilitolewa huko Kampala wakati wa makabidhiano ya pikipiki 190 na FAO kwa Serikali za mitaa 29 katika korido ya ng'ombe, West Nile na eneo dogo la Karamoja.

    Mwakilishi wa FAO nchini Uganda Antonio Querido, alisema wafanyakazi wa kilimo katika Wilaya 29 watatumia pikipiki hizo kuwafikia wakulima na kuongeza uelewa juu ya hatua za mabadiliko ya hali ya hewa kama vile kupanda miti na uhifadhi wa maji.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako