Takwimu mpya zilizotolewa jana na Shirika la Afya Duniani WHO zinaonesha kuwa idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona kote duniani imepita milioni moja. Marekani ni nchi yenye vifo vingi zaidi vinavyotokana na virusi hivyo, ikifuatiwa na Brazil na India.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |