• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wateja wataanza kulipa zaidi kwa maziwa

    (GMT+08:00) 2020-09-30 19:06:58

    Wateja wataanza kulipa zaidi kwa maziwa kuanzia wiki hii kufuatia uamuzi wa New KCC kurekebisha bei ya bidhaa zao, kwani wasindikaji wanalalama kupungua kwa kiwango na uzalishaji maziwa na wakulima wa maziwa kulipwa malipo ya juu.

    pakiti ya maziwa ya nusu lita sasa itagharimu Sh46 kutoka Sh43 hapo awali, ikiashiria kupanda kwa kwanza kwa bei ya maziwa tangu 2018 .

    Gharama kubwa imesababishwa na kushuka kwa kasi kwa usambazaji, na kusababisha kupanda kwa bei za wazalishaji na gharama ya ziada inapitishwa kwa watumiaji .

    Uhaba huo umeona maziwa yanayo safirishwa kwa wasindikaji ikishuka kwa asilimia 40 ikilazimisha viwanda kukabiliana na usambazaji wa chini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako