• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • JANGA LA CORONA LAWASUKUMA WATU MILIONI 100 KWENYE UMASKINI.

    (GMT+08:00) 2020-10-12 17:35:37

    Janga la corona litawasukuma watu milioni 100 kwenye lindi la umaskini ifikapo mwaka ujao. Imesema ripoti ya uchunguzi ya Benki ya Dunia. Eneo litakaloathirika zaidi ni bara la Afrika .

    Ripoti hiyo inasema kwamba janga la corona na uvamizi wa nzige wa jangwani walioathiri mataifa ya Afrika Mashariki na kutishaia uhaba wa chakula, kupoteza ajira na biahsara kuathiriwa ni sababu kuu zitazowasukuma watu wengi barani Afrika kwenye umaskini.

    Eneo la Afrika Mashariki limepoteza kati ya shilingi trilioni 4 na trilioni 8.5 mwaka huu pekee kutokana na majanga haya. Sekta zilizoathirika vibaya na janga la corona ni utalii, ambako maelfu ya watu walipoteza ajira.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako