• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ghana yasema Afrika inahitaji kuungwa mkono zaidi katika kufufua uchumi wake baada ya janga la COVID-19

    (GMT+08:00) 2020-10-14 08:37:41

    Waziri wa fedha wa Ghana Bw. Kenneth Ofori-Atta amehimiza uungaji mkono zaidi wa pande nyingi kwa ufufukaji wa uchumi wa Afrika baada ya janga la virusi vya Corona kumalizika.

    Kwenye taarifa aliyotoa kabla ya kufanyika kwa mikutano ya majira ya mpukutiko ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, Bw. Ofori-Atta ameomba Afrika iahirishiwe malipo ya madeni kwa muda wa miaka miwili na kupewa mkopo nafuu wa dola za kimarekani bilioni 300 ndani ya miaka mitatu ili kuharakisha ufufukaji wa uchumi wa bara hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako