Rais Xi Jinping wa China leo mchana ameweka shada la maua kwenye sanamu ya marehemu Deng Xiaoping kwenye Mlima Lianhuashan mjini Shenzhen, mkoani Guangdong, ili kutoa heshima yake ya kumkumbuka, muasisi huyo mkuu wa mageuzi ya ujamaa na ujenzi wa mambo ya kisasa ya China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |