• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Jukwaa la biashara ya mtandaoni la Afrika latafuta ushirikiano na wazalishaji wa China ili kuongeza mapato

    (GMT+08:00) 2020-10-16 08:46:14

    Jukwaa la biashara ya mtandaoni la Afrika (Jumia) linatafuta kupanua ushirikiano na wazalishaji wa China, ili kuongeza mapato yao.

    Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jumia Kenya Bw. Sam Chappatte amesema, China ni mzalishaji wa bidhaa mwenye ufanisi na kampuni za China zinatoa bidhaa zenye ubora na bei nafuu kwa wateja wa Afrika. Ameongeza kuwa kampuni yake ni mwenzi mzuri kwa wazalishaji wa China kwa kuwa inawawezesha kuwafikia moja kwa moja wateja wa Afrika, na kwamba imekuwa moja ya majukwaa maarufu zaidi ya biashara ya mtandaoni barani Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako