Radio ya kitaifa ya Msumbiji imeripoti kuwa, wanafunzi zaidi ya laki tatu wa mwaka wa 10 na shule za watu wazima wa mwaka wa tatu nchini humo wameanza masomo Jumatatu, baada ya kusimamishwa kwa miezi saba kutokana na janga la COVID-19.
Wanafunzi watagawanywa kwenye vikundi vidogo na kusoma shuleni kwa saa chache.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |