Mke wa rais wa Zambia Mama Esther Lungu amepokea msaada wa vitu vikiwemo barakoa laki moja kutoka Kampuni ya China Higer Bus Zambia Limited, na kupongeza sekta binafsi ya China kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za maendeleo za nchi hiyo.
Meneja mkuu wa kampuni hiyo Bw. Wu Ming amesema msaada huo unalenga kuwawezesha wanafunzi walio katika mazingira magumu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |