Kituo cha kudhibiti na kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema, nchi za Afrika zimepima COVID-19 kwa watu zaidi ya milioni 16.
Kituo hicho pia kimesema kati ya watu wote waliopimwa, asilimia 9.7 wamepatikana wana ugonjwa huo, na kwamba hadi sasa idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa virusi hivyo barani Afrika imezidi milioni 1.6.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |