• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sudan yajadiliana na Marekani kuhusu kuiondoa Sudan kwenye orodha ya Marekani ya nchi zinazofadhili ugaidi

    (GMT+08:00) 2020-10-23 09:27:20

    Waziri mkuu wa serikali ya mpito wa Sudan Bw. Abdalla Hamdok amezungumza na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw. Mike Pompeo kwa simu kuhusu Marekani kuiondoa Sudan kwenye orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi.

    Bw. Pompeo amesema, rais Donald Trump wa Marekani ataanza mchakato wa kuiondoa Sudan kwenye orodha hiyo. Jambo ambalo litaharakisha kuboreshwa kwa uhusiano wa nchi hizo mbili.

    Habari zinasema, Marekani itaanza utaratibu wa kuiondoa, ikipata malipo ya Sudan kiasi cha dola za Marekani milioni 335 kwa wahanga wa ugaidi wa Marekani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako