Kampuni ya uhandisi ya kitaifa ya China CCEC imesifiwa kwa uhodari wake katika mradi wa maji wa Kafulafuta iliyoushughulikia mkoani Copperbelt nchini Zambia.
Mbunge wa Mulungushi Wadi ya 10 Paul Mulenga amesema, CCEC imeonesha njia ya kutumia teknolojia katika uendelezaji wa miundombinu, na kwamba mradi huo ukikamilika maisha ya wenyeji wa huko yatakuwa bora zaidi .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |