Shirika la habari la kiislamu la IRGC Sepah News limeripoti kuwa, Jeshi la Iran limefanikiwa kufanya majaribio ya rada za Qadir, Moraqeb na Bashir kwenye mazoezi ya kijeshi ya anga ili kutambua shabaha zao angani. Ripoti imesema mfumo wa rada ya Qadir umetengenezwa na wataalamu, wanasayansi na vijana wa kundi la Jihad la IRGC, na ina teknolojia za kisasa ambazo zinapatikana katika nchi chache tu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |