Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limefanya operesheni dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, na kuwaua wanamgambo wasiopungua 16 wa kundi hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |