Maporomoko mawili ya ardhi yaliyotokea katika mkoa wa Quang Nam ulioko katikati ya Vietnam, yamesababisha vifo vya watu saba na wengine 46 hawajilikani walipo.
Waziri mkuu wa Vietnam Nguyen Xuan Phuc ameziagiza Kamati ya taifa ya Mwitiko wa Majanga na idara nyingine za jeshi na serikali kushirikiana na kutumia njia zote kuwaokoa wahanga wa maafa hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |