Chanjo nyingine ya COVID-19 iliyotengenezwa na Taasisi ya Microbiology iliyo chini ya Chuo cha Sayansi cha China imethibitishwa kuwa salama katika kipindi cha kwanza na cha pili cha majaribio, na kupendekezwa kufanyiwa majaribio zaidi.
Wizara ya Sayansi na Teknolojia imesema, hadi sasa chanjo nne za China zimeingia kwenye majaribio hayo ya kipindi cha tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |