• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Vyombo vya habari vya nchi za nje vyasema ongezeko la uchumi wa China limehimiza kufufuka kwa uchumi wa Asia

    (GMT+08:00) 2020-11-02 19:25:03

    Habari kutoka shirika la habari la Reuters zinasema, kutokana na kuboreshwa kwa hali ya uchumi wa China, uchumi wa Asia umeanza kufufuka. China inaingia katika kipindi kipya cha ongezeko baada ya kuripoti watu wa kwanza walioambukizwa virusi vya Corona duniani karibu mwaka mmoja uliopita.

    Baada ya kutekeleza zuio kali kabisa duniani mwanzoni mwa janga la COVID-19, sasa China ni nchi pekee ambayo ilikadiriwa na Shirika la Fedha Duniani kutimiza ongezeko la uchumi mwaka huu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako