Matokeo ya mwanzo ya uchaguzi wa rais ya Cote d'Ivoire yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya nchi hiyo yameonesha kuwa, rais wa sasa, na mgombea wa chama tawala cha nchi hiyo RHDP Alassane Outtara, ameshinda katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe 31 Oktoba. Lakini matokeo ya mwisho yatahitaji kuthibitishwa na mahakama ya kikatiba ya nchi hiyo kabla ya kutangazwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |