Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Algeria imesema, matokeo ya vipimo vya COVID-19 vya rais Abdelmadjid Tebboune yameonesha kuwa amekuwa na maambukizi ya virusi hivyo.
Taarifa hiyo pia imesema rais Tebboune anatibiwa katika hospitali moja nchini Ujerumani, na vipimo husika vimeonesha kuwa hali yake ya afya inaendelea kuwa nzuri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |