Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema hatua ya kufungwa kwa mwezi mmoja kwa Uingereza ambayo imeanza kutekelezwa mapema jana itamalizika Desemba 2.
Johnson amesema ushauri alioupata umeonesha kuwa, kufungwa kwa wiki nne kunatosha kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona nchini humo, na kuiwezesha sikukuu ya Krismasi kufanyika kama kawaida.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |