Shirika la habari la FOX nchini Marekani limesema, kama pingamizi iliyotolewa na rais Donald Trump wa Marekani juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu ikishindwa, na matokeo ya hivi sasa hayawezi kubadilika, basi atatambua matokeo hayo na kukabidhi mamlaka kwa utulivu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |