• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya yapendekezwa kutoa viza baada ya kuwasili kwa Wasomalia

    (GMT+08:00) 2020-11-11 09:32:40

    Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje ya Kenya Bw. Macharia Kamau amesema, kuna fursa nyingi kati ya Kenya na Somalia.

    Akitolea mfano sekta ya utalii, Bw. Macharia alisema, Kenya inapokea watalii karibu 32,000 kutoka Somalia kila mwaka, lakini sekta ya utalii bado haijapata maendeleo makubwa. Kama sera ya kutoa viza baada ya kuwasili ikitekelezwa, idadi ya watalii kutoka Somalia huenda itaongezeka mara mbili. Aidha alisema kuwa, Somalia hivi sasa inaendelea kubadilisha uchumi wake, na huenda itakuwa mwenzi muhimu wa Kenya katika uchumi, biashara na ushirikiano, na itakuwa chanzo muhimu cha mapato ya utalii na hoteli cha Kenya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako