Mawaziri wa ulinzi wa Russia na Uturuki jana walisaini makubaliano ya kuanzisha kituo cha pamoja cha kusimamia usitishaji wa mapambano kati ya Azerbaijan na Armenia kwenye eneo la Nagorno-Karabakh. Kituo hicho kitakachowekwa nchini Azerbaijan kitakusanya na kuthitibisha habari kuhusu hali ya usitishaji wa vita kwa pande husika na vitendo vigine vinavyokiuka makubaliano yaliyofikiwa na Azerbaijan, Armenia na Russia Jumatatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |