Waziri wa mambo ya nje wa Russia Bw. Sergei Lavorv jana alisema, watu wote watanufaika kama pande zote za mgogoro za Nagorno-Karabakh zikifuata makubaliano ya usitishaji wa mapambano. Ameongeza kuwa kurejesha uhusiano wa kiuchumi, mawasiliano na uchukuzi kwenye eneo hilo ni muhimu kwaajili ya kufufuka kwa uchumi wa Armenia ulioathiriwa vibaya zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |