China kuanzisha Chuo cha vielelezo cha Confucius kitakachofundisha lugha ya kichina na ufundi wa kikazi China inatarajiwa kuanzisha Chuo cha vielelezo cha Confucius kitakachofundisha lugha ya Kichina pamoja na ufundi wa kikazi ili kupata ajira ya kumudu maisha, ili kukifanya Chuo hicho kiwe na umaalumu mkubwa na kiwango cha juu cha mawasiliano ya kiutamaduni. |
Idadi ya wanafunzi wa vyuo vya Confucius yafikia laki 8.5 duniani Mkutano wa 8 wa Vyuo vya Confucius duniani umefanyika hivi karibuni mjini Beijing, ambapo wajumbe elfu 2 wa vyuo zaidi ya 400 vya Confucius kutoka nchi 110 duniani wamehudhuria mkutano huo. |
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |