Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 septemba ataanza ziara katika nchi nne za Asia ya Kati. Ziara yake itamfikisha Russia atakakohudhuria mkutano wa 8 wa viongozi wa kundi la nchi 20 utakaofanyika tarehe 5 hadi tarehe 6 huko St. Petersburg na kuhudhuria mkutano wa 13 wa baraza la marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya ushirikiano ya shanghai utakaofanyika huko Kyrgyzstan, Kyrgyzstan.