• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Juni 9-Juni 15)

    (GMT+08:00) 2018-06-15 19:00:04

    Mgogoro wa wahamiaji watokota Italia

    Serikali ya Italia imefutilia mbali ziara ya waziri wake wa uchumi kwenda nchini Ufaransa kufuatia mgogoro wa uhamiaji baina ya nchi hizo mbili.

    Italia imekua na hasira tokea Rais Macron wa Ufaransa alipoituhumu kwa kutohusika kutoa msaada wowote kwa mamia ya wakimbizi wanaoingia Italia.

    Waziri wa mambo ya ndani wa Italia Matteo Salvini alisema katika mkutano kuwa hakutakua na ziara yoyote nchini Ufaransa mpaka nchi hiyo itakapoomba radhi juu ya matamshi hayo.

    Bwana Salvini hakuwa tiyari kuzungumzia suala hilo kwa nchi ambayo mara kadhaa imekua ikiwazuia wahamiaji kuingia katika mipaka yake.

    Mapema Kansela wa Austria Sebastian Kurz alisema watafanya kila liwezekanalo kuzuia wahamiaji haramu.


    1  2  3  4  5  6  7  8  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako