• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 29-Novemba 4)

    (GMT+08:00) 2016-11-04 17:18:03

    Baraza jipya la mawaziri latangazwa Hispania

    Waziri mkuu wa Uhispania, Mariano Rajoy, ametangaza baraza jipya la mawaziri kumi na watatu.

    Bwana Rajoy, alimtaja Luis de Guindos kama waziri wa uchumi wakati naibu waziri mkuu Soraya Saenz de Santamaria atachukua jukumu la uhusiano wa Madrid na mamlaka ya kikanda ya mfalme.

    Waziri mkuu Rajoy, alishinda kura ya imani mwishoni mwa wiki, iliyomwezesha kuingia madarakani baada ya chaguzi mbili za pamoja za uchaguzi mkuu, na miezi kumi ya kupooza kisiasa.

    Baraza hilo jipya la mawaziri lilikutana Ijumaa.

    1 2 3 4 5 6 7 8
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako