• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Oktoba 29-Novemba 4)

    (GMT+08:00) 2016-11-04 17:18:03

    Kituo cha jeshi la majini la Marekani huko Nagasaki, Japan chafungwa baada ya kuripotiwa ufyatuaji wa risasi

    Kituo cha jeshi la majini la Marekani huko Nagasaki, Japan kilifungwa leo asubuhi kwa saa moja kutokana na ripoti za ufyatuaji wa risasi.

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwenye ukurasa wa Facebook wa kituo hicho, ufyatuaji risasi uliripotiwa saa tatu na nusu asubuhi kwa saa za huko katika jengo moja lililoko katika kituo hicho, ambapo watu waliokuwa ndani ya jengo hilo waliondolewa, huku idara za usalama na zimamoto zikikagua jengo hilo.

    Habari nyingine ziansema, hakuna uthibitisho wowote kuwa risasi zilifyatuliwa au mshambuliaji kupatikana, wala majeruhi kuripotiwa.

    1 2 3 4 5 6 7 8
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako