• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Februari 4-Februari 10)

    (GMT+08:00) 2017-02-10 17:42:49

    Ndege ya Urusi yawaua wanajeshi wa Uturuki Syria

    Rais wa Urusi Vladimir Putin ameomba msamaha baada ya shambulizi la Urusi kuwaua kimakosa wanajeshi watatu wa Uturuki kaskazini mwa Syria.

    Wanajeshi hao walikuwa wakiwasaidia waasi nchini Syria, wakati wa jitihada za kuuteka mji wa al-Bab kutoka kwa kundi la Islamic State.

    Hii ni sehemu ya hatua kubwa inayofanywa na Uturuki kuwatimua Islamic State, mbali na mpaka wa kusini mwa Uturuki.

    Urusi na Uturuki ambao wanaunga mkono pande pinzani wamekuwa wakiwapiga vita Islamic State hivi majuzi kwa mashambulizi ya ndege.


    1 2 3 4 5 6 7
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako