• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Desemba 22-Desemba 29)

    (GMT+08:00) 2018-12-28 20:00:53

    Andry Rajoelina ashinda uchaguzi wa urais Madagascar

    Rais wa zamani wa Madagascar Andry Rajoelina ameshinda uchaguzi wa urais wa Desemba 19, kulingana na matokeo rasmi ya muda yaliyotolewa na Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi.

    Andry Rajoelina, aliyewahi kuwa rais wa mpito, ameshinda uchaguzi kwa 55.66% ya kura. Mpinzani wake Marc Ravalomanana amepata 44.34% ya kura.

    Andry Rajoelina, mwenye umri wa miaka 44, ni maarufu sana kwa wawanchi wa Madagascar, kwa kuwa aliwahi kuwa meya wa mji mkuu mwaka 2007 na aliongoza nchi kwa miaka 5, kuanzia 2009 hadi 2013.

    Rajoelina amesema "Andry Rajoelina wa mwaka 2018, sio Andry Rajoelina wa mwaka 2009. Nimepiga hatua kubwa. Nimebadilika. Nimejiandaa na niko tayari sasa!

    Mahakama Kuu ya Katiba sasa ina siku tisa kutangaza matokeo ya mwisho.


    1  2  3  4  5  6  7  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako