• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Mei2-Mei 8)

    (GMT+08:00) 2020-05-08 19:36:23

    Eastleigh na Mji wa Kale hakuna kuingia wala kutoka kwa muda wa siku 15 zijazo

    HAKUNA kuingia wala kutoka mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi na Mji wa Kale ulioko Mombasa usiku na mchana kwa muda wa siku 15 zijazo kuanzia leo Jumatano.

    Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema serikali imechukua hatua hiyo kutokana na ongezeko la visa vya maambukizi ya virusi vya corona katika mitaa hiyo.

    Pia masoko yote na mikahawa imefungwa kwa siku 15 zijazo.

    Shughuli za uchukuzi mitaa hiyo miwili pia zimepigwa marufuku kwa muda wa siku 15.


    1  2  3  4  5  6  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako