• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (Septemba 19-Septemba 25)

    (GMT+08:00) 2020-09-25 16:14:40

    Marekani yatishia kuwaandama watakaokaidi vikwazo

    Vikwazo hivyo viliondolewa mwaka 2015 baada ya Iran na mataifa mengine sita duniani – Uingereza, China, Ufaransa, Ujerumani, Urusi na Marekani yenyewe – kufikia makubaliano ya kihistoria yaliyofahamika kama Mpango Mkakati wa Pamoja.

    Lakini Rais Donald Trump aliitowa Marekani kwenye makubaliano hayo mwaka 2018, akisema mkataba uliosainiwa na mtangulizi wake Barack Obama ulikuwa hautoshi. Badala yake akatangaza vikwazo vipya na kuongezea makali vilivyokwishakuwepo.


    1  2  3  4  5  6  7  8  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako