•FM1-20240419
•20240419 fm2
•20240419 fm3a
•20240419 fm3b
Bunge la Syria limetangaza jana kuwa Rais Bashar al-Assad amechaguliwa tena kwa muhula wake wa nne wa urais wa miaka saba.
Spika wa bunge la Syria Hamoudeh Sabbagh amesema rais Assad ameshinda kwa kupata asilimia 95.1 ya kura.
China na Tanzania zaadhimisha miaka 60 ya uhusiano wa kibalozi
• FM1-20240419
• 20240419 fm2
• 20240419 fm3a
• 20240419 fm3b