Idadi ya watu wa makabila mbalimbali mkoani Xinjiang yaongezeka kwa hatua madhubuti
2021-06-16 10:43:28| Cri

Idadi ya watu wa makabila mbalimbali mkoani Xinjiang yaongezeka kwa hatua madhubuti_fororder_3a

Matokeo ya Sensa ya Kitaifa ya Saba ya Mkoa wa Xinjiang yaliyotangazwa hivi karibuni yameonesha kuwa, idadi ya watu wanaoishi mkoani Xinjiang imezidi milioni 25.85, kiasi ambacho kimeongezeka kwa milioni 4.03 kikilinganishwa na sensa hiyo ya sita ya mwaka 2010, na kiwango cha ongezeko ni asilimia 18.52, wastani wa ongezeko umefika asilimia 1.71.