Mashambulizi ya mabomu yaliyotokea kwenye Uwanja wa Ndege wa Kabul, Afghanistan yamesababisha vifo na majeruhi ya watu mia kadhaa, na baadhi ya vifo vimetokana na ufyatuaji risasi wa wanajeshi wa Marekani.
Habari zilizothibitishwa na familia za marehemu na vyombo vya habari vya Afghanistan zinasema, baadhi ya watu waliuawa na wanajeshi wa Marekani kwenye vurugu zilizotokana na milipuko ya mabomu.