Vipimo vinne visipokuwa imara, taifa litakufa
2021-10-18 14:25:07| CRI

Vipimo vinne visipokuwa imara, taifa litakufa_fororder_Hadithi za Jadi

Huu ni msemo uliopo kwenye kitabu maarufu cha jadi cha China, ambapo sentensi yake kamili inasema, “taifa lina vipimo vinne, ambavyo ni sheria, maadili, uadilifu na kujua aibu. Unasisitiza kuwa kama vipimo hivi vinne vikikosekana au hata kama ni kimoja tu, basi taifa linaweza kuwa hatarini. Pia kufuata na kuzingatia sheria zote husika kwa ukamilifu huku yakizingatiwa maadili.