Mradi wa Wancuntong waleta huduma ya TV ya satelaiti kwa familia elfu 16 nchini Kenya
2021-12-23 15:26:20| CRI

图片默认标题_fororder_timg (2)

Kipindi cha Daraja kinachokujia kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) kinakufahamisha mambo mbalimbali kuhusu uhusiano, ushirikiano na mawasiliano kati ya China na Afrika. Katika kipindi cha leo, licha ya habari za wiki hii zilizohusisha China pamoja na nchi za Afrika, tutakuwa na ripoti kuhusu mradi wa Wancuntong unaonufaisha wanavijiji wengi nchini Kenya, lakini pia tutakuwa na mahojiano kutoka CMG Idhaa ya Kiswahili Nairobi.